BREAKING NEWS

Comments

Tuesday, November 14, 2017

Aliekua Mume Wa Irene Uwoya Afariki


Aliyekuwa Mume wa zamani wa Muigizaji Irene Uwoya na Mchezaji wa Burundi, Hamadi Ndikumana Katauti amefariki dunia.
Taarifa za kifo cha Ndikumana zimethibitishwa na Muigizaji Irene Uwoya,
Ndikumana na Uwoya walifunga ndoa Julai 2009 na walifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume na kisha baadae kutengana

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 JAMII FOCUS. Designed by OddThemes