BREAKING NEWS

Comments

Saturday, November 18, 2017

CCM Yatangaza Mabadiliko Ya Tarehe Ya Kikao Cha Halmashauri Kuu Ya Taifa NEC

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefanya mabadiliko ya tarehe ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kuwa itakuwa ni Novemba 21, 2017 badala ya Novemba 22 na 23, 2017.

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 JAMII FOCUS. Designed by OddThemes