BREAKING NEWS

Comments

Wednesday, November 8, 2017

PICHA ZAIDI ZA NYALANDU ALIVYOJITAMBULISHA KWA LOWASSA MARA BAADA YA KUHAMIA CHADEMA

Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu jana alimtembelea Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa ofisini kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujitambulisha.

“Mzee wangu nimekuja kujitambulisha na kusema asante kutufungulia mlango,” alisema Nyalandu katika taarifa iliyotolewa na ofisi ya Lowassa jana jioni.

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 JAMII FOCUS. Designed by OddThemes