BREAKING NEWS

Comments

Tuesday, November 14, 2017

Serikali Yatoa Majibu Bungeni Kuhusu Kujenga Uwanja wa Ndege Chato

Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amesema kuwa uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita unaojengwa wilayani Chato utakapokamilika utatumika kusafirisha madini, watu na vifaa.

==>Msikilize hapo chini akitoa majibu bungeni

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 JAMII FOCUS. Designed by OddThemes